Skip to main content
Skip to main content

Afisi ya bajeti yatoa tahadhari kuhusu hazina mpya ya trilioni 5

  • | Citizen TV
    346 views
    Duration: 3:14
    Afisi ya Msimamizi wa Bajeti za serikali ni ya punde zaidi kuelezea wasiwasi kuhusu usimamizi wa hazina mpya ya kitaifa ya miundomsingi iliyopendekezwa na rais William Ruto. Kwenye waraka wake kwa kamati ya bunge kuhusu fedha inayoangazia mswada kuhusu kubuniwa kwa hazina hiyo, msimamizi wa bajeti anasema bado kuna mianya katika usimamizi wa shilingi trilioni tano za hazina hiyo. Taasisi ya wahasibu nchini ICPAK pia ikielezea wasiwasi sawa