- 105 views
Wafanyikazi zaidi ya 200 ambao wamekuwa wakifanya kazi katika kaunti ya Kajiado chini ya mpango wa ufadhili wa USAID sasa wanaweza kushusha pumzi baada ya Gavana Jospeh Ole Lenku kuwaondolea hofu ya kupoteza kazi. Akizungumza kwenye hafla ya shukurani katika eneo la Dalalekutuk, Kajiado ya kati Gavana Lenku anasema licha ya mpango huo kuathirika, kaunti ya Kajiado itaendelea kuwapa kazi wafanyikazi hao ambao anasema watahamishiwa kwenye idara nyingine. Gavana Lenku pia akiwahimiza magavana wenzake kuweka mipango ya kunusuru ajira za wafanyikazi waliokuwa wakihudumu chini ya mpango huo,
Afueni ya wafanyakazi waliokuwa wakihudumu na USAID Kajiado
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - The Kenya Sugar Board (KSB) has called on farmers to support a planned three-month shutdown of sugar factories across the country, arguing the move will allow sugarcane to mature fully and earn farmers higher returns. In a statement shared on Saturday,…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has accused the opposition of inciting young people to cause violence and ethnic tension instead of offering real solutions to challenges facing Kenyans.
- 12 Jul 2025 - National Assembly Majority Leader and Kikuyu Senator Kimani Ichungw’ah has slammed the opposition brigade over their lack of of agenda and fueling the politics of violence and divisions in the country. Speaking during an empowerment drive in Narok…
- 12 Jul 2025 - Kenya Defence Forces (KDF) staged a spirited comeback to edge out Kenya Ports Authority (KPA) 3-2 in a nail-biting semifinal clash played on Saturday, July 12, 2025, at the Moi International Sports Centre indoor arena in Kasarani, securing a place in…
- 12 Jul 2025 - In a sharp rebuttal, Kindiki described the claims as “laughable” and “a clear sign of panic” within opposition ranks.
- 12 Jul 2025 - “Whether you're a leader or hold any other position, if you pay criminals to cause havoc, we will hold you to account."
- 12 Jul 2025 - The victim, an Ethiopian national, was reportedly attacked with a kitchen knife following a disagreement with a co-worker.
- 12 Jul 2025 - A US citizen was beaten to death and a Palestinian shot and killed when Israeli settlers attacked Sinjil.
- 12 Jul 2025 - Kenya Power has announced scheduled power interruptions in several parts of the country on Sunday, July 13, 2025,