- 67 views
Mkurugenzi mkuu mpya wa shirika la utangazaji la Kenya KBC Agnes Kalekye ameahidi kutumia tajriba yake katika tasnia ya habari kuongoza shirika hili katika kuafiki kiwango cha juu katika utoaji huduma. Kalekye aliyechukua wadhifa huo leo baada ya kuteuliwa wikendi iliyopita, amesema atashirikiana na wafanyakazi na usimamizi wa KBC kwa manufaa ya shirika hili. Anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Paul Macharia ambaye amekuwa akihudumu kama kaimu mkurugenzi mkuu wa shirika hili. Kabla ya uteuzi wake, Kalekye alikuwa afisa mkuu wa huduma katika shirika la Radio Africa, na pia mwenyekiti wa chama cha wamiliki wa vyombo vya habari nchini Kenya. Ni mwanamke wa kwanza kabisa kuhudumu katika wadhifa huo tangu kuanzishwa kwa shirika hili.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Agnes Kalekye aingia afisini kama mkurugenzi mkuu wa KBC
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 1 May 2025 - The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
- 1 May 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.
- 1 May 2025 - In a Wednesday statement released by the Office of the Inspector General, the incident occurred at approximately 7:30 p.m. on Wednesday along Ngong Road, near the City Mortuary roundabout.
- 1 May 2025 - The defeated Democrat told supporters the apparent "chaos" of the last three months was actually the realization of a long-cherished plan by conservatives who are using Trump to twist the United States to their own advantage.
- 1 May 2025 - South Africa's President Cyril Ramaphosa is setting up a judicial commission of inquiry to establish whether attempts were made to prevent the investigation or prosecution of apartheid-era crimes, his office said on Wednesday.
- 1 May 2025 - Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
- - Labour Day Celebrations 2025
- 1 May 2025 - The public appearance comes amid speculations that Matiang'i will be a candidate in the 2027 presidential elections.
- 1 May 2025 - National Police Service (NPS) has launched investigations into the fatal shooting of Kasipul MP Charles Were, which occurred Wednesday evening
- 1 May 2025 - Swedish police detained a 16-year-old early on Wednesday on suspicion of murdering three people in a hair salon in the city of Uppsala, prosecutors said.