- 21 views
Serikali imepiga marufuku aina tatu za mbolea iliyosambazwa chini ya mpango wa ruzuku kutokana na kutofikia ubora unaofaa. Katibu katika wizara ya kilimo Kiprono Rono amesema mbolea aina ya Kelphos Gold, Kelphos Plus na NPK 10.26.10 iliyotengenezwa na Kel Chemicals haifikii kiwango mwafaka cha ubora, kikiwa ndicho kiini hasa cha serikali kuchukua hatua hiyo. Afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya Silica Booster pia inayofahamika kama SBL Innovate Manufacturers Josiah Kariuki, alifika katika afisi za idara ya uchunguzi wa lkesi za jinai eneo la Nairobi kuhusiana na sakata ya mbolea hiyo ghushi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Aina 3 za mbolea ghushi zapigwa marufuku
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Tropical Cyclone Hidaya is expected to hit the country any time from the Indian Ocean with strong winds experienced for the better part of Friday evening.