- 1,326 viewsMtoto wa kike anayechukuliwa kuwa wa "muujiza" amekuwa wa kwanza nchini Uingereza kuzaliwa na mama kupitia njia ya kupandikizwa kwa kizazi. Mama wa mtoto huyo, Grace Davidson, 36, alizaliwa na shida katika tumbo la uzazi, na dada yake akamsaidia tumbo lake mwaka 2023 katika kile ambacho wakati huo kilikuwa upandikizaji pekee wa uzazi uliofaulu nchini Uingereza. Tangu wakati huo, karibu upandikizaji wa aina hii 135 umefanywa katika nchi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Marekani, China, Ufaransa, Ujerumani, India na Uturuki na Takriban watoto 65 wamezaliwa. #bbcswahili #uingereza #uzazi Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
Ajifungua baada ya kupandikiza tumbo la uzazi la dada yake
- - Tahadhari ya mapema ››
- - 🔴 KTN LIVE STREAM ››
- 22 May 2025 - Kenya’s Ministry of Foreign Affairs on Thursday said Tanzanian authorities have denied it access to activist Boniface Mwangi since he was arrested in Dar es Salaam on Monday.
- 22 May 2025 - Kenya has committed to increasing its contributions to the World Health Organisation (WHO) by 20% over the next four years.
- 22 May 2025 - The Lower Eastern region of Kenya will not be discriminated against in national development, President William Ruto has assured.
- 22 May 2025 - Nandi Senator Samson Cherargei says the United Democratic Alliance (UDA) party will crack down on other “rebellious” members following this week’s expulsion of nominated Senator Gloria Orwoba.
- 22 May 2025 - Kenya protests detention of activist Boniface Mwangi, demands his release or consular access, raises concern over Tanzanias silence despite multiple requests.
- 22 May 2025 - The Brazil–Africa Dialogue continues to serve as a vital platform for collaboration between developing nations, advancing the shared goal of creating equitable, sustainable, and hunger-free futures.
- 22 May 2025 - The athlete boasts of gold and bronze medals won in previous competitions.
- 22 May 2025 - Police officers found the body of Victor Kipkosgei hanging from the roof inside his house.
- 22 May 2025 - The plane is a gift from the Qatari royal family and is estimated to be worth $400m (£300m).
- 22 May 2025 - Police in Narok Central sub county have arrested two people pushing 69 donkeys at the wee hours of the night without a legal permit from the livestock department.