- 3,573 views
Aliyekuwa gavana wa Murang’a Mwangi wa Iria anasakwa na maafisa wa kupambana na ufisadi nchini EACC kwa tuhuma za ufisadi wa shilingi milioni 140 alipokuwa ofisini. Wa Iria aliponea kukamatwa kwenye hafla aliyopaswa kuhudhuria eneo la Magharibi ya Kenya. Wa Iria anasakwa pamoja na wengine saba kufuatia kufuatia idhini ya kufunguliwa kwake mashtaka na ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma. Tuhuma hizi zinahusiana na ununuzi uliofanywa kati ya mwaka 2015 na 2016. Viongozi wa Azimio waliokuwa kwenye hafla ambayo wa Iria alipaniwa kuhudhuria walilaumu kile wanasema ni serikali kuwahangaisha viongozi wa upinzani
Aliyekuwa gavana wa Murang’a Mwangi Wa Iria asakwa na maafisa wa EACC
- - 🔴LIVE|| NEWS NOW ››
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - The authority says the cyclone is expected to persist until May 6, 2024, and weaken thereafter.
- 4 May 2024 - President Ruto is expected to travel to the US this month, which could catalyse the process.
- 4 May 2024 - Question is whether it can last
- 4 May 2024 - Says preservation has been a burden to Kilifi County and nuisance to Malindi hospital.
- 4 May 2024 - Senators want them probed, punished for professional misconduct.
- 4 May 2024 - Transcript of the electronic voting reveals that at least 6 members rejected the motion.
- 4 May 2024 - The woman claims husband has not even paid dowry.
- 4 May 2024 - President, DP, Musalia gain as departments lose out in spending plan for next fiscal year.
- 4 May 2024 - UDA National Executive Committee deletes provision for three deputy leaders.
- 4 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.