- 839 viewsDuration: 2:24Aliyekuwa mbunge wa Matungu, David Were, sasa anataka haki kufuatia kuuawa kwa mwanawe Hannington Were katika mazingira ya kutatanisha, huku tukio hilo likizua hofu kuhusu ongezeko la visa vya utovu wa usalama katika Kaunti ya Kisumu.