Skip to main content
Skip to main content

Anthony Kyalo Kisoi aidhiinishwa kuwania udiwani katika uchaguzi mdogo wa wadi ya Mumbuni Kaskazini

  • | Citizen TV
    354 views
    Duration: 1:13
    Chama cha wiper kimepata nguvu mpya baada ya wagombea watatu kujiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mdogo wa wadi ya Mumbuni Kaskazini na kuahidi kumpigia debe Antony Kyalo Kisoi.