- 140 viewsMaelfu ya Wairan wameadhimisha siku ya Ashura Jumanne (Julai 16), sikukuu ya kidini ya kumuenzi Imam Hussein aliyekufa shahidi, ambaye ni mjukuu wa Mtume Muhammad. Ashura, ni maadhimisho ya kila mwaka ambapo watu huonyesha michezo yenye kuvutia na kuigiza Vita vya Kerbala ambavyo Imam Hussein alifariki, inafanyika katika siku ya kumi ya mwezi wa Muharram, mwezi wa kwanza wa kalenda ya Kiislam. Waislam wa madhehebu ya Shia waliandamana mitaani wakifanya maigizo, kuchoma hema ikiwa ni ishara ya kuigiza shida alizozipata Imam Hussein, na kupaza sauti wakiomba. “Kulingana na mazingira ya Wapalestina na Gaza, na matukio yanayofanyika hivi sasa, kuwatetea watu wasiokuwa na hatia ni ujumbe muhimu zaidi unaotakiwa kupelekwa kote,” alisema moja wa waumini Bi Mortazavi. Vita hiyo viligawanya madhehebu ya Shia na Sunni. -Reuters #wairan #iran #kerbala #maadhimisho #muharam #ashura #imamhussein #voa #voaswahili
Ashura: Igizo la vita vya Kerbala na kifo cha Imam Hussein
- - 🔴 TV47 LIVE ››
- - 2025 08 09 21 18 16 ››
- 10 Aug 2025 - Energy Principal Secretary Alex Wachira has said that electricity vandals were on the rise thereby causing economic sabotage in the country disrupting services and endangering communities and hence called on security to put efforts in tackling the vice.
- 10 Aug 2025 - India shot down five Pakistani fighter jets and one other military aircraft during clashes in May, India's air force chief said on Saturday, the first such statement by the country months after its worst military conflict in decades with its neighbour.
- 10 Aug 2025 - Haiti's former national palace security chief, Vladimir Paraison, was appointed national police chief by the country's transitional government on Friday, as the Caribbean nation looks to battle armed gangs that have displaced over a million people.
- 10 Aug 2025 - The commerce department has started issuing licenses to Nvidia to export its H20 chips to China, a U.S. official told Reuters on Friday, removing a significant hurdle to the AI bellwether's access to a key market.
- 10 Aug 2025 - Colombian president Gustavo Petro announced Friday the start of fresh talks with Clan del Golfo, the country's largest drug-trafficking gang and the world's largest producer of cocaine.
- 10 Aug 2025 - DP Kindiki's national economic empowerment programme stirs debate
- 10 Aug 2025 - Pride is our nation's real pandemic and only humility can save leaders
- 10 Aug 2025 - 'Dr Aden' fears journos' questions more than a cold July morning
- 10 Aug 2025 - How Ruto's goofs created a US-China dilemma
- 10 Aug 2025 - Trump's hand in relocation of UN bodies from New York to Nairobi