Skip to main content
Skip to main content

Askari 11 kutoka kaunti ya Kisii waendelea kuzuiliwa kortini kesi ikiendelea

  • | Citizen TV
    1,203 views
    Duration: 1:02
    Askari 11 kutoka kaunti ya Kisii walioshtakiwa kwa madai ya wizi wa bidhaa katika opereshini yao katika Boma moja eneo la Kegati viungani mwa mji wa Kisii watazuiliwa hadi Alhamisi ambapo watajulishwa iwapo wataachiliwa kwa dhamana au la.