Skip to main content
Skip to main content

Askofu Kivuva awahimiza Wakenya kukumbatia upendo na umoja

  • | KBC Video
    125 views
    Duration: 56s
    Askofu mkuu Anthony Kivuva Musonde wa dayosisi ya kanisa katoliki ya Mombasa ametoa wito kwa wakenya kudumisha upendo, umoja na kutofanya mambo kwa pupa nchi hii inaposherehekea sikukuu ya krismasi. Akizungumza kwneye makazi yake mnamo mkesha wa krismasi Askofu mkuu Kivuva alisema kuwa msimu huu wa sikukuu unafaa kuwa muda wa familia kuungana tena, kuwa wale wasiojiweza na kudhihirisha uwiano wa kitaifa badala ya migawanyiko ya kidini, kikabila na kijamii. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive