- 307 views
Askofu mkuu wa kanisa katoliki dayosisi ya Nairobi Philip Anyolo amewataka viongozi wa kisiasa kujiunga na kanisa katika kipindi cha siku 40 za Kwaresma kutafakari uadilifu wao binafsi. Akizungumza katika kanisa la Mtakatifu Monica eneo la Njiru wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Kwaresma, Askofu Anyolo amesema kauli ya mwaka huu ya “uadilifu kwa taifa lenye haki” ina maana kubwa kwa wakenya wakati huu ambapo viongozi wanaonekana kukiuka sura ya sita ya katiba. Askofu anyolo pia ametoa wito kwa serikali kuu kutafuta mbinu za kupunguza gharama ya maisha .
Askofu mkuu Philip Anyolo awataka wanasiasa pia wafunge Kwaresma
- 24 Jun 2025 - All six suspects in the murder case of Albert Ojwang have pleaded not guilty before Kibra Law Courts Lady Justice Diana Rachael Kavedza.
- 24 Jun 2025 - The Kenya Conference of Catholic Bishops (KCCB) has delivered a scathing indictment of President William Ruto’s government, accusing it of enabling extrajudicial killings, silencing dissent, and mismanaging public resources while ignoring the suffering…
- 24 Jun 2025 - Atwoli’s suggestion to relocate the park’s wildlife to Maasai Mara to “decongest” Nairobi and reflect an “international city” status undermines the park’s ecological, economic, and cultural value
- 24 Jun 2025 - Garissa Governor Nathif Jama has raised an alarm on the rising cancer cases being recorded in the North Eastern region due to the alleged dumping of nuclear waste.
- 24 Jun 2025 - Upon his release, Roba dismissed the allegations, describing the arrest as a politically motivated move designed to prevent him from presiding over a critical County Assembly session slated for Thursday, during which the impeachment motion against…
- 24 Jun 2025 - Twelve embassies in Kenya have urged President William Ruto’s government to respect citizens’ right to peaceful assembly and to express themselves.
- 24 Jun 2025 - The prosecution informed the court that John Ngige Gitau, a suspect in the murder, was a GSU deserter.
- 24 Jun 2025 - According to local authorities, the couple was taken into custody on Monday evening following reports from concerned villagers.
- 24 Jun 2025 - The inquiry seeks to establish the extent and impact of alleged hazardous waste dumping across counties, including Garissa, Wajir, and Mandera.
- 24 Jun 2025 - Chief Justice Martha Koome has assured Kenyans that the Judiciary will continue to stand firm as the ultimate guardian of the rule of law.