Askofu mteule wa kanisa la kiangilikana jimbo la Nambale
Isaiah Obuya ndiye askofu mpya wa kanisa la kiangilikana jimbo la Nambale kaunti ya Busia baada ya kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake John Jacob khamalau katika uchaguzi ambao umefanyika katika makao makuu ya jimbo hilo mjini nambale .
akiongea muda mfupi baada ya ushindi huo, askofu mteule isaiah obuya ameelezea nia yake ya kuhakikisha kuwa anaunganisha wumini wote jimbo la nambale na pia kuhakikisha kuwa kanisa hilo linapata miradi ya maendeleo.
Obuya anajaza pengo lililoachwa waziri baada ya aliyekua askofu dakta Robert Magina kustaafu mapema mwaka huu.
3 May 2024
- Education CS Ezekiel Machogu has cleared up the confusion over students already in school and issued a timeline for assessing schools.
3 May 2024
- Education CS Ezekiel Machogu has cleared up the confusion over students already in school and issued a timeline for assessing schools.
3 May 2024
- In this newsletter, we explain the snarl-up that was experienced at the JKIA entrance on Thursday.
4 May 2024
- Assimilation of the corps into the mainstream military did away with restrictions imposed on women.
4 May 2024
- Survey shows the young workers want freedom to work from home or office.
4 May 2024
- The 11-member select committee is expected to begin its work next Tuesday.
4 May 2024
- The authority says the cyclone is expected to persist until May 6, 2024, and weaken thereafter.
4 May 2024
- President Ruto is expected to travel to the US this month, which could catalyse the process.
4 May 2024
- Question is whether it can last
4 May 2024
- Says preservation has been a burden to Kilifi County and nuisance to Malindi hospital.
4 May 2024
- Senators want them probed, punished for professional misconduct.
4 May 2024
- Transcript of the electronic voting reveals that at least 6 members rejected the motion.
4 May 2024
- The woman claims husband has not even paid dowry.