Skip to main content
Skip to main content

Askofu Muheria aitaka serikalo kulipa madeni ya SHA

  • | Citizen TV
    830 views
    Duration: 1:45
    Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Nyeri Anthony Muheria amelalamikia kuwa huduma katika hospitali zinazoendeshwa na madhehebu mbalimbali zinaelekea kukwama kutokana na madeni ya SHA ambayo serikali haijalipa. Muheria ameirai serikali kuwajibika kwani wakenya wengi wataathirika iwapo hospitali hizo zitakosa kutoa huduma.