Athari za mafuriko katika kaunti tofauti

  • | K24 Video
    43 views

    Onyo la kuhamia mara moja kwenye nyanda za juu limetolewa kwa wakazi wa tana delta kufuatia kujaa kwa bwawa la masinga ambalo limeanza kumwaga maji na mto tana kuonyesha dalili za kuvunja kingo. Taswira hiyo imetokana na mvua kubwa inayonyesha pamoja na kuanza kufurika kwa bwawa Masinga