- 30 views
Shirika la msalaba mwekundu limesema familia 14000 nchini zimeachwa bila makao kutokana na mafuriko yanayosababishwa mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maneneo mbalimbali nchini. Akiongea na shirika la runinga ya Kbc Channel1, katibu wa shirika la msalaba mwekundu nchini Ahmed Idris alisema kuwa eneo lililoathirika zaidi ni kaunti ya Mandera. Alisema kundi linalojumuisha watu kutoka mashirika mbalimbali liko macho kushughulikia dharura zozote za mafuriko na kushughulikia tatizo la kusambaa kwa magonjwa miongoni mwa maswala mengine.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Athari Za Mafuriko: Kaunti ya Mandera imeathirika zaidi
- - Duniani Leo ››
- 18 Jun 2024 - Magistrate leaves behind family, budding career and broken hearts
- 18 Jun 2024 - School principals raise red flag over child labour in gold mines
- 18 Jun 2024 - Hesitant mothers told to visit hospitals for jabs
- 18 Jun 2024 - DPP orders arrest of PS Dubat's relatives for assaulting house girl
- 18 Jun 2024 - Big win for Kenyan banks as Ethiopia removes last hurdle for foreign lenders
- 18 Jun 2024 - Kuppet blames Machogu for JSS troubles
- 18 Jun 2024 - House mulls law changes to bar county governments from outsourcing legal services.
- 18 Jun 2024 - It is a technique of inversion through which the man feigns suppleness to beguile his prey after which he resumes his true colours.
- 18 Jun 2024 - President Ruto's allies dismiss claims that Kamba community has been left out.
- 18 Jun 2024 - King'ori and Joyce dominates June Mug and medal golf tournament at Nyali course