- 2,181 views
Hatua ya Kinara wa ODM Raila Odinga ya kuungana na serikali ya Kenya Kwanza imesutwa vikali na baadhi ya viongozi wa Muungano wa Azimio wa hivi punde akiwa ni Gavana wa kaunti ya machakos Wavinya Ndeti na naibu wake Francis Mwangangi ambao wamelalamika kuwa Odinga amewasiliti Wakenya kwa kuungana na watu wanaodaiwa kusababisha vifo vya vijana wa Gen Z waliokuwa wakiandamana Kuipinga serikali. Wamesema haya eneo la katangi walipozindua barabara ya kilomita 42 kutoka Katangi kuelekea Kithimani eneo bunge la Yatta. Kulingana na Mwangangi, Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka anastahili kuheshimiwa kwani ametangaza msimamo wake na kwamba ana nafasi bora zaidi kuwa rais wa Kenya katika uchaguzi mkuu ujao.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Baadhi wa viongozi wa Azimio wa mshutumu Raila vikali, baada ya kuungana serikali ya Kenya Kwanza
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 10 Jul 2025 - Elon Musk-owned X's CEO Linda Yaccarino said on Wednesday she would step down from the role in a surprise move, just months after the social media platform was acquired by the billionaire's AI startup, xAI.
- 10 Jul 2025 - Nigerians seeking to travel to the United States on non-immigrant visas will now receive single-entry three-month permits, the U.S. Embassy in Nigeria said, rolling back the up to five-year, multiple-entry visas they enjoyed previously.
- 10 Jul 2025 - Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
- 10 Jul 2025 - A clip of the arrest has since gone viral on social media.
- 10 Jul 2025 - The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
- 10 Jul 2025 - Leaders led by CS Duale are mourning the crucial Muslim leader.
- 10 Jul 2025 - Outspoken digital content creator Ntazola Gloria has launched a fiery message to young men who spend their time
- 10 Jul 2025 - A post-mortem revealed that Brian’s skull had been damaged by blunt force trauma.
- 10 Jul 2025 - Murang’a Senator Joe Nyutu has called on President William Ruto to issue a public apology to Kenyans for
- 10 Jul 2025 - The co-worker is said to have escaped immediately after the incident.