- 64 views
Baadhi ya wabunge kutoka kaunti za Nyeri na Nyandarua wamedai kuwa halmashauri ya kitaifa ya usimamizi wa mazingira NEMA kwa kutatiza ujenzi wa barabara ya Maumau unaotarajiwa kugharimu shilingi bilioni nne kuunganisha kaunti hizo mbili.Wakiongozwa na mbunge wa Tetu Geoffrey Wandeto,wabunge hao wanadai kuwa halmashauri hiyo halmashauri ya barabara kuu nchini iliondolea mbali kandarasi ya ujenzi wa barabara hiyo baada ya halmashauri ya NEMA kukataa kutoa idhini ya ujenzi wa barabar hiyo kupitia msitu wa Aberdare kwa madai kuwa ujenzi huo utahitilifaina na mazingira. Gichuki Wachira anatusimulia zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #maumauroad #NEMA
Baadhi ya wabunge wamedai halmashauri ya mazingira NEMA inatatiza ujenzi wa barabara ya Maumau
- 19 Apr 2024 - A Kenyan mountaineer has embarked on a daring quest to attempt a summit of the Mt. Everest without the use of supplemental oxygen.
- 19 Apr 2024 - Nairobi Governor, Johnson Sakaja, has been demanded to withdraw his statements on converting Uhuru Park into a commercialization center.
- 19 Apr 2024 - President William Ruto now says elevating General Francis Ogolla to the country’s Chief of Defence Forces position last year is the best appointment he has made so far since assuming power.
- 19 Apr 2024 - NARC Kenya Party Leader Martha has called for heightened investigations into the tragic death of Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla.
- 19 Apr 2024 - Opposition Leader Raila Odinga has called for a "thorough, professional and transparent" investigation into the death of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla who tragically lost his life in a helicopter crash on Thursday afternoon.
- 19 Apr 2024 - The family of the late Chief of Defence Forces General Francis Ogolla has insisted that his father’s 100th birthday celebrations initially set for Saturday will still go on as planned.
- 19 Apr 2024 - The Kenya Defence Forces will hold their own event to honour their late boss with a Military Honours ceremony to be conducted tomorrow, Saturday, April 20, 2024.
- 19 Apr 2024 - The late General Francis Ogolla will be laid to rest without a coffin in accordance with his will and wishes, his elder brother Canon Hezekiah Oduor has disclosed.
- 19 Apr 2024 - Six persons charged with the murder of former Juja Member of Parliament George Thuo in 2013 have been convicted.
- 19 Apr 2024 - Six persons charged with the murder of former Juja Member of Parliament George Thuo in 2013 have been convicted.