Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu hawajapata pesa

  • | Citizen TV
    309 views
    Duration: 2:35
    Siku moja baada wizara ya Elimu kusema imetuma shilingi bilioni 9.46 kupiga jeki masomo ya zaidi ya wanafunzi laki tatu wa vyuo vikuu nchini, baadhi ya wanafunzi sasa wanasema wangali kupokea fedha hizo hadi sasa