Skip to main content
Skip to main content

Baba adaiwa kumpiga mwanawe wa mika 14 hadi kufa katika kaunti ya Busia

  • | Citizen TV
    2,890 views
    Duration: 2:24
    Familia moja kijijini Bugeng'i katika eneo bunge la Butula kaunti ya Busia yaomboleza kifo cha mvulana wa miaka 14 adaiwaye kupigwa na babake mzazi hadi kufa kwa kosa la kutofanya kazi aliyokuwa amepewa.