Skip to main content
Skip to main content

Baraza la madhehebu umetia saini mkataba wa maafikiano wa uvaaji wa hijab kwa wanafunzi shuleni

  • | Citizen TV
    4,053 views
    Duration: 2:02
    Baraza la madhehebu, lijumuishalo waumini wa dini ya Kiislamu na Wakristo jimboni Marsabit, umetia saini mkataba wa maafikiano unaotoa nafasi kwa wanafunzi katika shule za umma kuvaa hijab.