Skip to main content
Skip to main content

Baraza la wazee wa Kalenjin lakemea siasa za migawanyiko

  • | Citizen TV
    684 views
    Duration: 1:21
    Baraza la Wazee wa Jamii ya Kalenjin, limewataka wanasiasa kujiepusha na matamshi ya kugawanya Wakenya kwa misingi ya kisiasa au kikabila, likisema kauli za aina hiyo zinahatarisha amani na mshikamano wa kitaifa.