Tazama namna kikosi cha huduma za dharura kilivyowaokoa abiria waliokuwa wamenasa ndani ya basi lililokwama kwenye mafuriko katika barabara kuu yenye shughuli nyingi kaskazini mwa Kenya.
Basi hilo, lililokuwa na takriban abiria 50, lilikuwa likielekea mji mkuu, Nairobi, likitokea kaunti ya Wajir.
Dereva alijaribu kuvuka sehemu ya barabara iliyofurika maji na basi hilo likakwama kwenye tope ndipo lilipozingirwa na maji yenye kasi.
Baadhi walipanda juu ya basi na waliokuwa ndani ya basi hilo walifanikiwa kutoka kupitia madirishani.
Katika wiki iliyopita, taifa hilo la Afrika Mashariki limeshuhudia mvua kubwa zinazotabiriwa kuendelea.
#bbcswahili #kenya #mafuriko
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jan 2025
- A family from Kisumu is now accusing prison officers at the Siaya GK Prison of negligence after the health of their kin deteriorated while in custody.
21 Jan 2025
- The connections are part of a broader electrification effort for the entire Western region, which has already seen thousands of homes connected to the national grid in Bungoma, Busia, and Vihiga counties.
21 Jan 2025
- Four suspects accused of hijacking, kidnapping and robbing a retired senior government official last year have been arraigned at Kangundo law Courts.
21 Jan 2025
- Two days after protests erupted in Elburgon, Molo, following the murder of activist Richard Otieno, homicide detectives from the DCI headquarters have taken charge of the probe.
21 Jan 2025
- The Cabinet has approved sweeping reforms that will see 42 State corporations considered to have related or overlapping functions merged and reduced into 20 agencies
21 Jan 2025
- Environment, conservation and climate change crusaders in Kenya have continued to blow the whistle on how Kenya's development plans are pushing forests to the brink.