Basi lenye abiria lasombwa na maji yenye fujo
Tazama namna kikosi cha huduma za dharura kilivyowaokoa abiria waliokuwa wamenasa ndani ya basi lililokwama kwenye mafuriko katika barabara kuu yenye shughuli nyingi kaskazini mwa Kenya.
Basi hilo, lililokuwa na takriban abiria 50, lilikuwa likielekea mji mkuu, Nairobi, likitokea kaunti ya Wajir.
Dereva alijaribu kuvuka sehemu ya barabara iliyofurika maji na basi hilo likakwama kwenye tope ndipo lilipozingirwa na maji yenye kasi.
Baadhi walipanda juu ya basi na waliokuwa ndani ya basi hilo walifanikiwa kutoka kupitia madirishani.
Katika wiki iliyopita, taifa hilo la Afrika Mashariki limeshuhudia mvua kubwa zinazotabiriwa kuendelea.
#bbcswahili #kenya #mafuriko
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
10 Jul 2025
- The violence has led to the destruction of property and economic downturn.
9 Jul 2025
- Ichung'wah's accusations follow a myriad of attacks by the former DP on the Kenya Kwanza government.
9 Jul 2025
- The multibillion-shilling project is set to kickstart next month.
10 Jul 2025
- Elon Musk-owned X's CEO Linda Yaccarino said on Wednesday she would step down from the role in a surprise move, just months after the social media platform was acquired by the billionaire's AI startup, xAI.
10 Jul 2025
- Nigerians seeking to travel to the United States on non-immigrant visas will now receive single-entry three-month permits, the U.S. Embassy in Nigeria said, rolling back the up to five-year, multiple-entry visas they enjoyed previously.
10 Jul 2025
- Russia pummelled Ukraine early on Wednesday with its largest missile and drone attack in more than three years of war, claiming to have targeted an airfield in a region bordering Poland.
10 Jul 2025
- The US government said Wednesday it subpoenaed Harvard University for records linked to students allegedly involved in a wave of pro-Palestinian student protests that the Trump administration labeled anti-Semitic.
10 Jul 2025
- The violence has led to the destruction of property and economic downturn.
10 Jul 2025
- Applicants must undergo technical compliance checks, pay penalties, and submit documentation from licensed professionals.
10 Jul 2025
- Kenya Wildlife Service Director General Erastus Kanga says the park can ecologically accommodate about 90 to 100 rhinos.
10 Jul 2025
- Revolutionary #ActForSRHR campaign brings together men and boys as allies in the fight for reproductive rights
10 Jul 2025
- Tutors' employer failed to present comprehensive data on those aged 45 years and above.
10 Jul 2025
- Constitutional lawyer Willis Otieno has strongly criticised President William Ruto over his recent directive to the police to