Basi lenye abiria lasombwa na maji yenye fujo
Tazama namna kikosi cha huduma za dharura kilivyowaokoa abiria waliokuwa wamenasa ndani ya basi lililokwama kwenye mafuriko katika barabara kuu yenye shughuli nyingi kaskazini mwa Kenya.
Basi hilo, lililokuwa na takriban abiria 50, lilikuwa likielekea mji mkuu, Nairobi, likitokea kaunti ya Wajir.
Dereva alijaribu kuvuka sehemu ya barabara iliyofurika maji na basi hilo likakwama kwenye tope ndipo lilipozingirwa na maji yenye kasi.
Baadhi walipanda juu ya basi na waliokuwa ndani ya basi hilo walifanikiwa kutoka kupitia madirishani.
Katika wiki iliyopita, taifa hilo la Afrika Mashariki limeshuhudia mvua kubwa zinazotabiriwa kuendelea.
#bbcswahili #kenya #mafuriko
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
26 Jul 2024
- Kalonzo made the revelations at a gathering in Nyeri County which was also attended by other senior politicians.
26 Jul 2024
- Trusted by President Ruto, the Central Bank insider was tasked with rebuilding the country's coffers, which the Kenyan Kwanza administration claimed were empty in 2022.
27 Jul 2024
- G20 finance ministers are expected to take a first step towards international cooperation on taxing the super-rich Friday, with a deal in Brazil likely to call for individual nations to strengthen their own measures, rather than delivering a set of…
27 Jul 2024
- Residents say despite receiving valid court orders, private developers continue their activities unabated
27 Jul 2024
- The entities increased their spending by Sh591 million
27 Jul 2024
- Audit flags losses at the companies which are heavily in debt
27 Jul 2024
- The changes allowed state officers and their families to do business with the government.
27 Jul 2024
- Western Kenya and parts of Rift Valley will continue to have rains in the morning.
27 Jul 2024
- When news broke that the man had lost his job, staffers broke into excited dance.
27 Jul 2024
- Kalonzo now set to lose out on Raila's political support
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial