Basi lenye abiria lasombwa na maji yenye fujo
Tazama namna kikosi cha huduma za dharura kilivyowaokoa abiria waliokuwa wamenasa ndani ya basi lililokwama kwenye mafuriko katika barabara kuu yenye shughuli nyingi kaskazini mwa Kenya.
Basi hilo, lililokuwa na takriban abiria 50, lilikuwa likielekea mji mkuu, Nairobi, likitokea kaunti ya Wajir.
Dereva alijaribu kuvuka sehemu ya barabara iliyofurika maji na basi hilo likakwama kwenye tope ndipo lilipozingirwa na maji yenye kasi.
Baadhi walipanda juu ya basi na waliokuwa ndani ya basi hilo walifanikiwa kutoka kupitia madirishani.
Katika wiki iliyopita, taifa hilo la Afrika Mashariki limeshuhudia mvua kubwa zinazotabiriwa kuendelea.
#bbcswahili #kenya #mafuriko
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
4 May 2024
- The changes were adopted during a meeting chaired by Ruto at State House.
3 May 2024
- Education CS Ezekiel Machogu has cleared up the confusion over students already in school and issued a timeline for assessing schools.
3 May 2024
- Education CS Ezekiel Machogu has cleared up the confusion over students already in school and issued a timeline for assessing schools.
4 May 2024
- Indian cartoonist Rachita Taneja and Hong Kong's Zunzi were awarded the biennial Kofi Annan Courage in Cartooning Award on Friday, which is International Press Freedom Day.
4 May 2024
- Hope Hicks, a former top aide to Donald Trump, testified on Friday that staffers on his 2016 presidential campaign were alarmed when they learned that a tape in which he made lewd comments about women was about to be made public.
4 May 2024
- Assimilation of the corps into the mainstream military did away with restrictions imposed on women.
4 May 2024
- Survey shows the young workers want freedom to work from home or office.
4 May 2024
- The 11-member select committee is expected to begin its work next Tuesday.
4 May 2024
- The changes were adopted during a meeting chaired by Ruto at State House.
4 May 2024
- Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
4 May 2024
- Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
4 May 2024
- Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
4 May 2024
- Nursing mothers at Kahawa Wendani Primary School face shortage of essential supplies like diapers, sanitary pads, and nutritious food.