Skip to main content
Skip to main content

BBC News Swahili

  • | BBC Swahili
    15,931 views
    Duration: 1:46
    Ikulu ya Marekani imethibitisha kuwa Marekani inaanzisha kituo cha afya nchini Kenya kitakachopokea Wamarekani waliokumbana na virusi vya Ebola kutoka maeneo yaliyoathirika na mlipuko huo. Hata hivyo Kenya ilikanusha kuwa imekubali kuweka karantini ya wamarekani walioambukizwa ebola #bbcswahili #ebola #ebolavirus Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw