- 4,178 views
Ni afueni zaidi kwa wakenya baada ya mamlaka ya kudhibiti bidhaa za kawi na petroli kutangaza kushuka kwa bei za petorili, dizeli na mafutaa taa kwa mwezi mmoja ujao. Katika tangazo lililotolewa leo na katibu Mkuu wa mamlaka ya EPRA, bei ya mafuta ya petroli imepunguzwa kwa shilingi tano na senti 31. Dizeli imepunguzwa kwa jumla ya shilingi kumi huku wateja wa mafuta ya taa wakipata afueni kubwa kwani lita moja ya bidhaa hiyo imepungua kwa shilingi kumi na nane na senti sitini na nane. Jijini Nairobi, Petroli sasa itauzwa shilingi 193 na senti themanini na nne kwa kila lita huku dizeli ikiuzwa shilingi 180 na senti thelathini na nane na mafuta ya taa itauzwa shilingi 170 na senti sita. Mjini Mombasa petrol itauzwa shilingi 190 na senti sitini na sita huku mjini nakuru, bei ikiwa shilingi 192 na senti tisaini. Mkurugeniz mkuu wa EPRA David Kiptoo amesema wakenya watazamie kupungua kwa gharama ya umeme hivi karibuni.
Bei ya Petroli, Dizeli na Mafuta Taa yashuka
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Tropical Cyclone Hidaya is expected to hit the country any time from the Indian Ocean with strong winds experienced for the better part of Friday evening.
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying
- 4 May 2024 - Big challenge of our democracy is not longer terms for leaders
- 4 May 2024 - Floods are the world's wake-up call to craft proactive responses