- 29 views
Mkurugenzi Mkuu wa halmshauri ya kukabiliana na bidhaa ghushi Robi Njoroge, amesema asilimia 25 ya bidhaa ghushi humu nchini, sasa zinanunuliwa kupitia mitandao ya kibiashara na masoko ya mitandao, na hivyo kuwafanya wakenya milioni 22 wanaotumia mtandao humu nchini kuwa walengwa wakuu wa ulaghai. Na ili kukabiliana na tishio hili, Halmashauri hiyo kwa ushirikiano na mtandao wa kukabiliana na bidhaa ghushi nchini Uganda, wamezindua Programu kwa jina BLEEP ambayo inatumia teknolojia ya akili mnemba kuhakikisha ubora wa bidhaa, ili kuwasaidia watumizi na wafanyabiashara kubaini bidhaa halisi. Taarifa hii na nyinginezo ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Asilimia-25 ya bidhaa zinazouzwa mtandaoni ni ghushi
- - Duniani Leo ››
- - Sam's Sense ››
- - Bonyo's Bone ››
- - Kaikai's Kicker ››
- - Yvonne's Take ››
- 16 May 2025 - US President Donald Trump said Thursday a deal was close on Iran's nuclear programme that would avert military action, sending oil prices tumbling, as he boasted of raising "trillions of dollars" on a Gulf tour.
- 16 May 2025 - US Secretary of State Marco Rubio said Thursday he did not expect breakthroughs in talks between Ukraine and Russia, which sent a low-level delegation to Istanbul.
- 16 May 2025 - Family members claim the four were rounded up from their houses and shot dead.
- 16 May 2025 - Goons descended on those who attended the event at the new party’s offices in Nairobi.
- 16 May 2025 - New system to integrate learners’ data with the Maisha Namba digital identification.
- 16 May 2025 - Budget cuts cripple police hiring, modernisation for 2027 elections
- 16 May 2025 - Duale seeks additional Sh22 billion for health sector
- 16 May 2025 - Kemis: Second shot at fixing student data
- 16 May 2025 - Kenyans grieve their lost kin, even as Murkomen circles in useless legalese
- 16 May 2025 - Coffee farmers to receive centralised payments in landmark sector reforms