- 10 views
Wenye biashara ndogo ndogo wanatoa wito wa marekebisho kwenye mswada wa fedha wa mwaka 2025,wakihimiza bunge kupitisha mapendekezo yatakayonusuru biashara kutoka hatari ya ukosefu wa pesa, na kuimarisha kuwepo kwa pesa.Shirika la kitaifa la biashara na wenye viwanda limeunga mkono hatua kama vile kupunguza muda wa kulipa madeni ambayo wakopaji wanakabiliwa na changamoto kulipa kutoka miezi 24 jinsi ilivyokuwa imependekeza kwenye mswada wa fedha wa mwaka 2025 hadi mwaka moja.Kwa habari hizo na nyingine ni katika mkusanyiko wa habari za biashara.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Biashara I Wanabiashara wataka mwongozo kuhusu ushuru
- 30 May 2025 - U.S. Senate Foreign Relations Committee Chairman Jim Risch has condemned the recent surge in abductions across East Africa, warning that it reflects widespread impunity and a decay in governance.
- 30 May 2025 - MPs on Thursday grilled acting Kenya Airports Authority (KAA) Managing Director, Nicholas Bodo over dubious financial dealings involving the contentious Greenfield Terminal project at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA).
- 30 May 2025 - Kanyenyaini Ward Member of County Assembly (MCA) Grace Nduta, along with three other suspects, has been arraigned over alleged involvement in the suspected stage-managed abduction of Juja Member of Parliament George Koimburi.
- 30 May 2025 - The government through the Betting Control and Licensing Board (BCLB) has introduced strict measures on gambling advertisements to promote responsible gambling and protect minors from being exploited.
- 30 May 2025 - The DP is on Saturday, May 31, 2025, making a fourth visit to the county in a month.
- 30 May 2025 - During the raid, the officers also recovered approximately 2 kilograms of unprocessed cannabis.
- 30 May 2025 - Ruto directed CS Murkomen to oversee the transfer of the said prisoners.
- 30 May 2025 - Mr Koimburi remained critically ill, according to close friends and family members, and his prognosis is unknown.' - DCI
- 30 May 2025 - Nine alleged members of the notorious Gulf Cartel have been arrested on suspicion of murder.
- 30 May 2025 - Gambling ads near schools, religious institutions are also prohibited