- 242 viewsDuration: 3:08Bodi ya usimamizi ya hospitali ya level IV ya Suguta Marmar kaunti ya samburu imejiuzulu. Haya yamejiri siku chache baada ya wakaazi wa eneo hilo kuandamana kulalamikia kuzorota kwa huduma hospitalini mbali na vifo vya kina mama wanaojifungua.