- 316 views
Katika kaunti ya Nakuru bunge la kaunti hiyo jana lilijadili mswada wa kumtaka seneta wa kaunti hiyo Tabitha Karanja Keroche kukoma kuidalilisha na kudharau bunge hilo. Hii ni baada ya Seneta Keroche mwezi jana kupitia kwa viombo vya habari kulitaka bunge hilo kumung'oa mamlakani Gavana wa kaunti hiyo Susan Kihika kwa kile seneta Keroche alichotaja kama Gavana Kihika kushindwa kutekeleza majukumu yake baada ya mvurutano wa umilik wa hosipitali ya War Memorial, kaunti ya Nakuru ilichukua hosipitali hiyo mwezi jana baada watu saba wakiwemo wakurungenzi watatu kufikiswa mahakamani Nakuru na kushitakiwa kwa madai ya kutumia vyeti ghushi katika kuongeza miaka ya umiliki wa hosipitali hiyo kwa miaka mingine hamsini Zaidi. Alex Mbugua mwakilishi wadi kutoka Lakeview ndiye aliyeleta mswada huo akimtaka spika Maina Karuri wa bunge hiyo pamoja na kiongozi wa wengi kumuandikia seneta barua ya kufika katika bunge hiyo na na kuelezea sababu za kutaka Kihika kuondolewa uongozini. Wanadai Seneta Keroche hakufata Sheria za bunge kwa kwenda bungeni na kuwaelezea sababu za kumuondoa Kihika badala yake alitumia vyombo vya habari na mikutano ya hadara.
Bunge la kaunti la Nakuru lamtaka Seneta Keroche aache kulidhalilisha
- - Duniani Leo ››
- 5 Jul 2025 - Rescuers were desperately searching for at least 20 girls missing from a riverside summer camp, officials said Friday, after torrential rains caused a "catastrophic" flash flood that killed at least 24 people as it swept through south-central Texas.
- 5 Jul 2025 - A middle-aged man was on Friday sentenced to seven years in prison after pleading guilty to a drug trafficking charge.
- 5 Jul 2025 - US President Donald Trump said Friday he was "very unhappy" about his telephone call with Vladimir Putin on the war in Ukraine, saying the Russian leader just wanted to "keep killing people."
- 5 Jul 2025 - Rwandan President Paul Kagame said on Friday he was unsure whether a U.S.-brokered peace deal would hold with Democratic Republic of Congo and warned he would respond to any "tricks" from his neighbour.
- 5 Jul 2025 - There is growing debate on the legality and ethical grounding of a construction of a church in State House.
- 5 Jul 2025 - The MP was part of the opposition rally in Kitale on Friday.
- 5 Jul 2025 - The United Nations Human Rights Council on Friday rejected a bid by Eritrea to end the mandate of a U.N. expert investigating alleged abuses in the country, in a relief to Western diplomats who feared it would set a dangerous precedent for states seeking…
- 5 Jul 2025 - 'There is growing anger and frustration with Ruto's leadership.' - Rigathi Gachagua
- 5 Jul 2025 - Itumbi said it was unnecessary for Archbishop Sapit to publicly question who should provide spiritual leadership at State House.
- 5 Jul 2025 - “So, Your Grace, my Archbishop, Most Reverend Ole Sapit...by design of the state, you are the National Chaplain.”