- 88 views
Pendekezo la kumwondoa mamlakani gavana wa Isiolo Abdi Guyo litasikizwa na bunge nzima la seneti baada ya seneti kukosa kuidhinisha hoja ya kubuni kamati maalum ya kuchunguza madai dhidi ya gavana huyo. Hoja hiyo iliyowasilishwa na seneta wa Kakamega Bonny Khalwale kwa niaba ya kiongozi wa wengi katika bunge la seneti, ilipendekeza kubuniwa kwa kamati ya wanachama 11 kuchunguza madai hayo. Hata hivyo, pendekezo hilo halikufanikiwa baada ya seneta wa Kilifi Stewart Madzayo, aliyetarajiwa kuunga mkono hoja hiyo, alipoipinga, hivyo kumlazimu spika Amason Kingi kuagiza kwamba suala hilo liangaziwe na bunge nzima.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Bunge la seneti kusikiliza pendekezo la kubanduliwa kwa gavana wa Isiolo
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - More than 14 million of the world's most vulnerable people, a third of them small children, could die because of the Trump administration's dismantling of US foreign aid, research projected on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - Bangladesh on July 1 marks one year since students launched protests that culminated weeks later in the overthrow of the government.
- 1 Jul 2025 - A middle-aged man shocked an Eldoret court after confessing that he deals in bhang business as his only source of income.
- 1 Jul 2025 - Cameroon's Tourism Minister Bello Bouba Maigari has accepted his party's nomination to seek the presidency in an expected October election, with long-serving President Paul Biya yet to announce whether he plans to run for reelection.
- 1 Jul 2025 - KEBS has received several complaints.
- 1 Jul 2025 - The bill is "utterly insane and destructive". — Elon Musk
- 1 Jul 2025 - His quest for freedom has been denied at the High Court and Court of Appeal.
- 1 Jul 2025 - Police said they are investigating to establish whether the man drowned or was killed and dumped there.
- 1 Jul 2025 - The woman had a stab wound in the head.
- 1 Jul 2025 - Usaid-funded programs have prevented more than 91 million deaths globally, including 30 million deaths among children.