Kufuatia ongezeko la madeni ya taifa, baadhi ya wakazi wa kaunti ya Busia wakiwemo akina mama mboga, wahudumu wa bodaboda na wataalam wa bajeti wanaelezea kutoshuhudia manufaa yoyote ya mikopo ila ni mfumo unaotumiwa kuwanufaisha watu wachache nchini.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya