- 12 views
Tume ya utekelezaji haki na baraza la vyombo vya habari humu nchini zimeshutumu visa vya dhuluma dhidi ya wanahabari na maafisa wa polisi vilivyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya kupinga mswada tata wa fedha wa mwaka- 2024 , Akiongea wakati wa uzinduzi wa afisi ya tume hiyo mjini Meru, mwenyekiti wa tume hiyo Florence Kajuju alitaja dhuluma hizo kuwa ukiukwaji haki za binadamu na ukandamizaji uhuru wa vyombo vya habari. Kuhusu afisi mpya ya tume hiyo huko Meru , Kajuju aliwahimiza wakazi wa Meru na viunga mwake kutumia afisi hiyo akiongeza kuwa anatumaini afisi hiyo itapunguza mrundiko wa kesi mahakamani
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
CAJ na MCK washutumu ukiukaji wa haki
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has reappointed former judge of the East African Court of Justice Charles Nyachae as the Chairperson of the Kenya School of Government for a three-year term.
- 12 Jul 2025 - A Director at Mara Ndovu Lodge Limited was arraigned before the Milimani Law Courts over charges of defrauding an unsuspecting victim out of Ksh.48.8 million in a sham investment deal.
- 12 Jul 2025 - The leadership of two road agencies has been shaken following the resignation of two top officials on Friday.
- 12 Jul 2025 - The government has unveiled a bold plan to expand coffee farming across regions as part of a national revival effort for the once-thriving sector.
- 12 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) party leader Rigathi Gachagua has said that the opposition is finalizing evidence against President William Ruto for submission to the International Criminal Court.
- 12 Jul 2025 - Raila's comments come hours after Gachagua dismissed Odinga's calls for a national dialogue.
- 12 Jul 2025 - This comes days after Ruto asked police to shoot goons in the leg.
- 12 Jul 2025 - The Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development, and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has called on the Kenya Red Cross Society to pursue accreditation from the Green Climate Fund (GCF) to strengthen its role in building climate-…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has said that his administration has successfully stabilised Kenya’s economy, lifting the country from the brink of a debt crisis and propelling it into the top six largest economies in Africa. Speaking on Saturday, July 12, 2025…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has said that his administration has successfully stabilised Kenya’s economy, lifting the country from the