Skip to main content
Skip to main content

Chadema yarejea kwenye siasa za Tanzania

  • | BBC Swahili
    27,032 views
    Duration: 1:01
    Mahakama ya rufani nchini Tanzania imetupilia mbali zuio lililowekwa kwa viongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo CHADEMA kutojihusisha na masala ya chama, Chama hicho kimetangaza kufungua tena ofisi zake kote nchini humo ikiwa ni takriban mwaka mmoja tangu kuwekwa kwa zuio hilo. #bbcswahili #tanzania #chadema