Skip to main content
Skip to main content

Chaguzi ndogo hatarini kwa ukosefu wa fedha – IEBC

  • | Citizen TV
    3,094 views
    Duration: 2:25
    Tume ya uchaguzi na mipaka iebc sasa inasema haina fedha ya kutosha kuandaa chaguzi ndogo 8 zinazotarajiwa mwezi novemba mwaka huu. Iebc ikisema kuwa hazina ya kitaifa haijatoa fedha za kuandaa chaguzi hizo. IEBC inasema inalenga kusajili vijana milioni nne kushiriki uchaguzi mkuu wa 2027.