- 266 viewsViongozi wa chama tawala Afrika Kusini wanakutana kujadili hatma ya rais Cyril rRamaphosa katikati ya kashfa ya rushwa ambayo imepelekea shinikizo ajiuzulu. Ripoti huru ilisema Ramaphosa huenda alivunja sheria kwa tuhuma za kuficha fedha zilizoibiwa katika shamba lake. Akizungumza siku ya Jumapili, Ramaphosa alisema hatma yake iko mikononi mwa chama tawala cha ANC. Lakini pia alisema kuwa ataipinga ripoti hiyo kupitia mahakama ya katiba ya nchi hiyo. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Chama cha ANC Afrika Kusini chakutana kujadili hatma ya Rais Ramaphosa
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 5 Jul 2025 - Opposition leaders have come out guns blazing to condemn President William Ruto's stance on constructing a church within the State House precincts, using what the president describes as his own money.
- 5 Jul 2025 - A family in Eldoret, Uasin Gishu County, is mourning the loss of their son, Timothy Bwibo, who succumbed to gunshot injuries on Friday night.
- 5 Jul 2025 - Former Meru Governor Kawira Mwangaza has been named the new party leader of Umoja na Maendeleo Party, taking over from Charles Wambora Mugambi.
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - Ruto has appointed John Munyu as the Non-Executive Chairperson of the Pharmacy and Poisons Board.
- 5 Jul 2025 - The youth leader was rearrested a few minutes after being released on cash bail.
- 5 Jul 2025 - The ex-DP, while speaking at a funeral, claimed his Kikuyu community was being targeted.
- 5 Jul 2025 - Duale urged counties and health workers to help enforce the policy.
- 5 Jul 2025 - The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.