- 78 views
Kwenye hatua itakayoathiri pakubwa utoaji huduma za afya kote nchini Kenya, chama cha wamiliki hospitali katika maeneo ya mashinani na miji – RUPHA, kimetangaza kusitisha utoaji huduma za afya kwa wagonjwa waliosajiliwa kwenye bima ya afya ya jamii - SHA, kuanzia KESHO kutokana na kile kilichotaja kuwa deni la zaidi ya shilingi bilioni 30 linalodaiwa na hospitali za kibnafsi. Mwenyekiti wa chama hicho cha RUPHA, Brian Lishigwe, hata hivyo alifafanua kwamba huduma za dharura zitatolewa kama kawaida
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Chama cha hospitali za kibinafsi za vijijini na mijini (RUPHA) chasusia SHA
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - Following are key quotes from Russian President Vladimir Putin's statement after meeting U.S. President Donald Trump in Alaska on Friday.
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Social media personality Faustine Baba Talisha, on Saturday, August 16, 2025, continued marking the fifth anniversary of his
- 17 Aug 2025 - Inside the power games behind Governor Mutai fresh ouster bid
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Ruto's shift towards China reveals costly miscalculation on US ties
- 17 Aug 2025 - How background check cost ex-Equity Bank's staff plum job
- 17 Aug 2025 - Court battles bleed billions from public universities
- 17 Aug 2025 - Cheer Harambee Stars with an eye on the fly in our soup
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance