- 51 views
Chama cha wafanyikazi wa nyumbani, hoteli na taasisi za elimu, KUDHEIHA, kinaitaka serikali kutupilia mbali pendekezo kwamba mikutano na warsha za asasi zake ziandaliwe katika afisi wala sio kwenye hoteli. Katibu mkuu wa chama cha KUDHEIHA Albert Njeru amesema kusitishwa kwa mikutano hiyo kwenye hoteli kutaathiri maisha ya vijana ambao huenda wakapoteza ajira.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #KUDHEIHA #News
Chama cha KUDHEIA chakosoa uamuzi wa serikali
- - Duniani Leo ››
- 14 Jul 2025 - The two leaders command a solid support base key in determining the presidential contest.
- 14 Jul 2025 - How trigger-happy police officers conceal evidence that incriminates them
- 14 Jul 2025 - I'm not the dad: Man wants name removed from birth certificate
- 14 Jul 2025 - Missed vaccination risks a child's life as eradicated diseases return
- 14 Jul 2025 - Ruto's multiple problems and why they are not likely to fizzle out soon
- 14 Jul 2025 - Missing bullets in demo victims spark questions
- 14 Jul 2025 - Syphilis infections rise sharply with women most hit
- 14 Jul 2025 - With IEBC in place, country prepares for mini elections
- 14 Jul 2025 - Why State has resorted to terrorism charges
- 14 Jul 2025 - Kenya's exports brace for Sh13b blow as Trump tariffs resume