- 1,030 views
Ukosefu wa maafisa wa IEBC nchini ni jambo hatari kwa taifa. Ni onyo la chama cha United Democratic Movement (UDM) ambacho kinasema hali hiyo inahujumu haki za wanachi. Akizungumza kwenye hafla iliyoleta pamoja baraza kuu la chama hicho, kinara wa UDM ambaye pia ni Seneta wa Mandera Ali Roba amesema kuwa wapiga kura katika eneo bunge la Banissa hawajapata mwakilishi bungeni tangu mbunge wao kufariki mwaka jana. Aidha baadhi ya wadi nchini zimekumbwa na hali sawia kutokana na kuwa muundo wa IEBC hauko kamili. Roba sasa anamtaka rais william ruto kufanya hima na kuteua makamishna wapya wa iebc kulingana na agizo la mahakama kuu.
Chama cha UDM chasema ukosefu wa maafisa wa IEBC ni hatari kwa taifa
- - Duniani Leo ››
- 7 May 2024 - Rescue efforts were underway after three people were killed and dozens remained trapped after a multi-storey building under construction collapsed in the South African city of George.
- 7 May 2024 - As India votes in a six-week general election, Narendra Modi's image adorns everything from packs of rice handed out to the poor to large posters in cities and towns.
- 7 May 2024 - Train services were suspended owing to the floods and heavy rains.
- 7 May 2024 - 'Maai Mahiu floods snatched my beloved son from my hands'
- 7 May 2024 - CS for Agriculture Mithika Linturi runs a key function in Ruto administrations economic plan. Healths Susan Nakhumicha runs another function that is key in the life of the country.
- 7 May 2024 - Australian PM accuses Chinese warplane of 'unacceptable' conduct
- 7 May 2024 - The man left the suspicious goods at the bus booking office for clearance from the government.
- 7 May 2024 - Amnesty says Somali strikes with Turkish drones killed civilians
- 7 May 2024 - Boeing probed in US over possible falsified records on 787
- 7 May 2024 - No letup yet for flood-battered southern Brazil