Skip to main content
Skip to main content

Chama cha wanawake wahasibu nchini kimetakiwa kuongoza kuendeleza tamaduni jumuishi

  • | KBC Video
    186 views
    Duration: 4:04
    Katibu wa Baraza la Mawaziri, Mercy Wanjau, amekitaka Chama cha Wanawake wahasibu nchini kuongoza katika kuendeleza tamaduni jumuishi kwa kuwawezesha wanawake wataalam chipukizi katika taaluma ya uhasibu kustawi kwa ushindani ndani na nje ya nchi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive