Skip to main content
Skip to main content

Chama kipya cha kisiasa? | Viongozi wa 'Third Force' waonekana kujinoa kwa siasa

  • | Citizen TV
    31,172 views
    Duration: 2:55
    Viongozi wa mrengo mpya wa kisiasa wa Kenya moja sasa wanasema wanajiandaa kujipima nguvu kwa uwezekano wa kubuni chama kipya cha kisiasa. Viongozi hawa wanaojumuisha baadhi ya waliokuwa wanasiasa wa ODM na UDA wameonekana kujipigia debe na kuandaa mikutano kivyao. Lakini je, wanapanga kusajili ushirikiano wao kama Chama kwenye uchaguzi mkuu ujao