- 28 views
Chama cha wahariri humu nchini kimehimizwa kuwa katika mstari wa mbele katika kubuni sheria endelevu zitakazoimarisha utendakazi wa wanahabari. Spika wa bunge la taifa Moses Wetangula amesema kuwa taaluma ya uanahabari inakabiliwa na changamoto ibuka zinazofaa kushughulikiwa kupitia mifumo wazi. Alithibitisha kuwa bunge hilo linaunga mkono uanahabari unaounganisha jamii mbali na uhuru wa vyombo vya habari na uadilifu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Changamoto ibuka zajadiliwa kwenye Kongamano La Wanahabari
- - Duniani Leo ››
- 15 Jul 2025 - Such is the reality facing a family in Kilifi where the burial of their son has ignited a storm.
- 15 Jul 2025 - A police officer issued death threats to his father and sister, as well as magistrate, warning that 'blood will be shed' if the land case is not heard as scheduled.
- 15 Jul 2025 - Why local firms shy away from innovation
- 15 Jul 2025 - Kenya takes part in trials of first malaria treatment for newborns
- 15 Jul 2025 - UK simplified trade rules open up opportunities for Kenyan exporters
- 15 Jul 2025 - Media urged to spotlight 'silent emergencies'
- 15 Jul 2025 - Pattni loses Sh10 billion land case to ex-spy chief Kanyotu's family
- 15 Jul 2025 - Ruto and Gen Z agree that enough is enough but differ on what is enough
- 15 Jul 2025 - CMA to pay ex-Sanlam boss for silence that cost him new job
- 15 Jul 2025 - IEBC warns against reckless rhetoric as political tempers flare