- 235 viewsDuration: 4:12Changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kaunti ya Kajiado imekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya jamii. Hata hivyo, wakazi wa kijiji cha Olobelbel sasa wana sababu ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa kwa mradi wa maji utakaowanufaisha zaidi ya watu 500 pamoja na maelfu ya mifugo.