Changamoto zinazo wakabili vijana, wanawake katika ufugaji samaki
Vijana na wanawake wanaojishughulisha na ufugaji wa samaki nchini Tanzania wameitaka serikali kushughulikia changamoto zinazowakumba wafugaji hao ikiwemo changamoto ya upatikanaji wa raslimali watu na miundombinu ya kutosha hali inayopelekea kuwepo kwa uzalishaji duni wa mazao ya samaki. Hata hivyo serikali imeanza kuchukua hatua za kuhamasisha uwekezaji katika viwanda vya uzalishaji wa chakula cha samaki ndani ya nchi ili kupunguza gharama na kuongeza tija. Sikiliza ripoti hii iliyoandaliwa na Mwandishi wa VOA, Dar es Salaam Amri Ramadhani.
#ufugajisamaki #wanawake #vijana #changamoto #tanzania #bagamoyo #voa #voaswahili
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.
5 Aug 2025
- Thousands of Kenyans have not yet paid their HELB loans.
5 Aug 2025
- Elson Tumwine, who had gone missing while interning at Hoima, a city in Uganda reappeared in Entebbe Magistrate Court and was arraigned before Grade One Magistrate Tibayeta Edgar Tusiime.
5 Aug 2025
- Okode claims the letter was a forgery and that no such resignation exists, adding that it was the work of saboteurs.
5 Aug 2025
- Five people, among them an infant, were killed a road crash at Mbaruk area in Gilgil along the Nakuru-Eldoret Highway.
5 Aug 2025
- The United States on Monday issued a security alert after heavy gunfire erupted near its embassy in Haiti, with the impoverished Caribbean country engulfed by escalating gang violence.
5 Aug 2025
- The meeting comes about a month after the Registrar of Political Parties reaffirmed Uhuru as the Party Leader.
5 Aug 2025
- Since his arrival in the USA, Gachagua has visited Boston, Massachusetts, Maryland and Seattle.
5 Aug 2025
- The pastor had been suspended over allegations of misconduct.
5 Aug 2025
- National Council for Population and Development warned that Kenya is not adequately prepared to support its ageing population
5 Aug 2025
- According to the CS, all schools will be affected.
5 Aug 2025
- This comes days after the application window for the September intake closed.