- 270 views
Kazi za ufundi Kwa kiwango kikubwa zimeachiwa wanaume.Hata hivyo Christine Kendi amedhihirisha umahiri wake katika kazi za ufundi kiasi cha kuajiriwa kwenye hoteli moja eneo la Diani. Bidii na juhudi zake zimemfanya akapewa nafasi ya meneja wa kiufundi katika hoteli ya Diani Sea Lodge ambako alianza kazi kama fundi wa mabomba na mifereji. Na si hayo tu Christine kendi ndiye mwanamke wa kwanza na wa pekee kuongoza kitengo cha ufundi katika Sekta nzima ya hoteli huko pwani.
Christine Kendi anafanya kazi za ufundi Diani na ndiye anayepamba makala ya mwanamke bomba
- 22 Jun 2025 - A woman suspected of conning a Chinese national $101,000 (Ksh.13, 049, 200) in a fraudulent trade deal had been arrested.
- 22 Jun 2025 - President Donald Trump said US air strikes on Sunday "totally obliterated" Iran's main nuclear sites, as Washington joined Israel's war with Tehran in a flashpoint moment for the Middle East.
- 22 Jun 2025 - The Democratic Republic of Congo has extended by three months a ban on exports of cobalt intended to curb oversupply of the electric vehicle battery material, a regulatory agency said on Saturday.
- 22 Jun 2025 - Italian Prime Minister Giorgia Meloni said on Friday she was working with the European Union on a debt-relief initiative for African states - part of Rome's efforts to help development in Africa and address the root causes of mass migration.
- 22 Jun 2025 - Several hundred armed men, many on motorbikes, attacked a Niger army base near the border with Mali, leaving at least 34 soldiers dead and 14 wounded, the Defence Ministry said.
- 22 Jun 2025 - The goons disrupted protests in Nairobi CBD on Tuesday.
- 22 Jun 2025 - Iran's state media admit part of the site was "attacked" but downplays extent of the damage
- 22 Jun 2025 - Kenya's police's dalliance with brutality, impunity stands out among global peers
- 22 Jun 2025 - Esther Passaris: Self-declared police mouthpiece
- 22 Jun 2025 - Gen Zs never left, they changed lanes from streets demos to the podcast mic