- 279 views
Ripoti ya kituo cha demokrasia ya vyama vingi CMD imeonyesha kwamba watu wenye mahitaji maalum hawakupewa nafasi sawa na wale wasio na mahitaji hayo katika uchaguzi mkuu ulipita. Walemavu, wanawake, vijana na wanaotoka katika jamii zilizotengwa walikabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo za kifedha pamoja na kushurutishwa na vyama vya kisiasa kuwapisha wagombea waliopendelewa. Kulingana na ripoti hiyo iliyozinduliwa hapa jijini Nairobi, hatua hiyo ya ubaguzi iliwafungia nje viongozi ambao wangelifaa taifa la Kenya.
CMD yatoa ripoti inayoonyesha vyama vya kisiasa nchini vina ubaguzi
- - Amerucan Golf Day ››
- 17 Aug 2025 - A young Palestinian woman who was flown from Gaza to an Italian hospital in a severely emaciated state for treatment has died, the hospital said Saturday.
- 17 Aug 2025 - Auditor General queries Sakaja's Dishi na County project
- 17 Aug 2025 - Hustler accuses MPs of corruption, naysayers now await deliverance
- 17 Aug 2025 - Ghosts of Nyayo haunts, reminding us that fight for genuine, citizen-centred governance is far
- 17 Aug 2025 - Political analysts say renewed confrontation could reopen old political wounds
- 17 Aug 2025 - Ruto has rolled out multi-million-shilling empowerment programmes targeting women, youth
- 17 Aug 2025 - US President Donald Trump on Saturday shifted his campaign to halt the Ukraine war to securing a full peace agreement after a summit with Russia's President Vladimir Putin failed to secure a ceasefire.
- 17 Aug 2025 - Hundreds of Air Canada employees formed picket lines outside major Canadian airports on Saturday, hours after unionized flight attendants walked off the job in a contract dispute that has disrupted travel for tens of thousands of passengers.
- 17 Aug 2025 - Ukraine's Volodymyr Zelenskiy flies to Washington on Monday under heavy U.S. pressure to agree a swift end to Russia's war in Ukraine but determined to defend Kyiv's interests - without sparking a second Oval Office bust up with Donald Trump.
- 17 Aug 2025 - Wiper Patriotic Front leader Kalonzo Musyoka has warned President William Ruto’s administration and potential investors against any attempts to sell or buy the Kenya Pipeline Company.