- 201 viewsDaktari Denis Mukwege aeleza kilicho msukuma kugombea nafasi ya urais DRC “Daktari Mukwege, wewe ni Mshindi wa Tuzo ya Nobel wa DRC, umetangaza unagombea urais wa DRC. Nini kilicho kusukuma kufanya hivyo?” “Nafikiri kitu cha kwanza kilicho nisukuma ni kwa miaka kadhaa wanajamii wa Congo wamekuwa siku zote wakiniuliza iwapo ninaweza kugombea urais wa Jamhuri hii. Hivyo basi, nilikuwa nikipata maombi, lakini hadi wakati huo, ilikuwa nahisi vigumu kuondoka katika eneo langu la uzoefu na kuanza kuingia katika njia hii mpya ya kuwasimamia watu wa Congo, na kuwasaidia. “Miaka kadhaa iliyopita, nimeshuhudia hali nchini kwetu – katika misingi ya usalama, siasa na jamii – imeharibika, kiasi kwamba hivi sasa tumekuwa katika hali ya kuwa na hofu, kwa hali ya uhai wetu, kwa umoja wa nchi yetu.” Kutokana na hali hii, nimejikuta katika mazingira ambayo ni lazima nitumikie wito huu, na leo, nimetoa jawabu la “ndiyo” kwa wito wa wanajamii wa Congo.” #DRC #RDC #Mukwege #Congo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Daktari Denis Mukwege aeleza kilicho msukuma kugombea nafasi ya urais wa DRC
- 2 May 2024 - Three senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) charged in the fake fertilizer scandal have been freed on Ksh.1 million cash bail each.
- 2 May 2024 - The government of Kenya on Thursday warned that the Coastal region is likely to be hit by a tropical cyclone now christened ‘Hidaya’ within the next few days.
- 2 May 2024 - Police in Nairobi have arrested a man over his alleged involvement in the supply of 161,000kg of fake gold, which led to duping a Georgian national of over Ksh.822.2 million.
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
- 2 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
- 2 May 2024 - KenGen has allayed fears of Masinga Dam bursting its banks due to the ongoing heavy rains amidst fears of an overflow.
- 2 May 2024 - Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.
- 2 May 2024 - The government is now warning that Cyclone Hidaya may soon hit the Coastal region amid the heavy rains presently being witnessed across the country.