Skip to main content
Skip to main content

Daktari Mkongwe Job Obwaka na wenzake 3 wafikishwa kortini

  • | Citizen TV
    4,258 views
    Duration: 3:45
    Daktari Mkongwe Job Obwaka na maafisa wengine watatu wa chama cha madaktari nchini, wameachiliwa kwa dhamana baada ya kukamatwa hapo jana. Wanne hawa wakikana mashtaka yanayohusiana na madai ya kupokea hongo na kukosa kuwasilisha stakabadhi za fedha kwa msajili wa mashirika.