Daktari wa watoto aeleza hospitali pekee ya Nasser imeelemewa na wagonjwa
Hospitali Gaza zinakabiliwa na shinikizo kubwa la wagonjwa wengi wanaowapokea na huku huduma zikiwa finyu kutokana na vita.
Daktari wa watoto, Mervat Al-Qatati, alisema Hospitali ya Nasser haiwezi kutoa matibabu kwa idadi kubwa ya wagonjwa watoto ambao wanawapokea.
Kampeni ya Jeshi la Israel imeziweka hospitali nyingi na vituo vingine vya afya kutoweza kutoa huduma, kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kusababisha ukosefu mkubwa wa mahitaji ya tiba.
Israel inakanusha kukusudia kulenga vituo vya afya au kuzuia upatikanaji wa mahitaji ya tiba kupelekwa Gaza.
Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli.
Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000.
Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakati asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu.
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
1 Jul 2025
- The deal is the largest military deal signed between the two countries in the last decade.
1 Jul 2025
- The funding is set to unlock tens of thousands of jobs.
1 Jul 2025
- A study has highlighted the devastating effects of Trump's fund cuts.
2 Jul 2025
- Uganda will require fuel distributors to blend locally produced ethanol into all petrol sold in the country starting next January, the energy ministry said on Tuesday, a measure that could reduce the East African nation's petroleum import bill.
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has broken his silence on some of the most high-profile unresolved cases during his time in office, including the discovery of bodies in River Yala and the murder of then Independent Electoral and…
2 Jul 2025
- A Taliban diplomat will on Tuesday assume the role as Afghanistan's ambassador to Russia, the Islamist group's first top envoy to Moscow since seizing power in 2021, Russian state media reported.
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang'i has weighed in on last year's Gen Z-led demonstrations that saw protesters breach Parliament, citing that the protests would have taken a different trajectory had he been occupying the security docket.
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has questioned the efficiency of the National Intelligence Service (NIS) in light of claims that goons were hired to infiltrate recent anti-government protests, saying the agency should have known and…
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has rubbished claims that he is a political project of former President Uhuru Kenyatta, saying he is yet to align himself with any political party as he continues to consult across the political…
2 Jul 2025
- Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i has announced that he is ending his stint at the World Bank in Washington, DC, to fully focus on his presidential ambitions ahead of the 2027 General Election. Speaking during an interview with a local TV…
2 Jul 2025
- A new nationwide initiative has been launched to equip young farmers with agroecology knowledge and business skills. The Participatory Ecological Land Use Management (PELUM) organisation project, dubbed Youth in Agroecology and Business Learning Track…
2 Jul 2025
- Gen Z protesters not saboteurs; they're patriots of the highest order
2 Jul 2025
- Bank ordered to pay Sh284m withdrawn from Koinange's family account