- 52 viewsHospitali Gaza zinakabiliwa na shinikizo kubwa la wagonjwa wengi wanaowapokea na huku huduma zikiwa finyu kutokana na vita. Daktari wa watoto, Mervat Al-Qatati, alisema Hospitali ya Nasser haiwezi kutoa matibabu kwa idadi kubwa ya wagonjwa watoto ambao wanawapokea. Kampeni ya Jeshi la Israel imeziweka hospitali nyingi na vituo vingine vya afya kutoweza kutoa huduma, kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kusababisha ukosefu mkubwa wa mahitaji ya tiba. Israel inakanusha kukusudia kulenga vituo vya afya au kuzuia upatikanaji wa mahitaji ya tiba kupelekwa Gaza. Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli. Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakati asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu. #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
Daktari wa watoto aeleza hospitali pekee ya Nasser imeelemewa na wagonjwa
- 16 Jun 2025 - Police Constable James Mukhwana, currently in custody over the brutal killing of blogger and teacher Albert Ojwang’, has broken his silence, revealing chilling details about what transpired on the night of June 7, 2025, while Ojwang’ was held at the…
- 16 Jun 2025 - The technician, who was reportedly paid Ksh.3,000 to disable the surveillance system, was remanded in Kilimani Police Station with a second suspect. Their detention follows an application by IPOA through its Assistant Director of Forensics, Paul Njihia.
- 16 Jun 2025 - The High Court in Isiolo issued an order stopping the impeachment of Governor Abdi Guyo pending hearing and determination of the case before it.
- 16 Jun 2025 - The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
- 16 Jun 2025 - A section of ODM party members in Mombasa is calling for the urgent review and repeal of the Computer Misuse and Cybercrimes Act, 2018 (CMCA), claiming it has contributed to the harassment, arrests, and even killings of bloggers and youths. Led by ODM…
- 16 Jun 2025 - Four senior police officers charged in baby Samantha Pendo’s murder case have been granted a cash bail of Ksh.1 million shillings and two sureties of Ksh.500,000 each.
- 16 Jun 2025 - Shock and grief have engulfed residents of Vatican Estate in Olkalou, Nyandarua County, after a middle-aged woman was brutally beheaded by an unknown assailant. The victim, identified as Maureen, a mother of three and a well-known boiled eggs vendor in…
- 16 Jun 2025 - Incidents of child neglect and abuse are increasingly becoming a disturbing reality in Gatundu South, Kiambu County, prompting urgent calls for action from community leaders and child welfare stakeholders.
- 16 Jun 2025 - Court to determine bond application by Central Police Station boss in three days' time.
- 16 Jun 2025 - The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.