- 52 viewsHospitali Gaza zinakabiliwa na shinikizo kubwa la wagonjwa wengi wanaowapokea na huku huduma zikiwa finyu kutokana na vita. Daktari wa watoto, Mervat Al-Qatati, alisema Hospitali ya Nasser haiwezi kutoa matibabu kwa idadi kubwa ya wagonjwa watoto ambao wanawapokea. Kampeni ya Jeshi la Israel imeziweka hospitali nyingi na vituo vingine vya afya kutoweza kutoa huduma, kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO), na kusababisha ukosefu mkubwa wa mahitaji ya tiba. Israel inakanusha kukusudia kulenga vituo vya afya au kuzuia upatikanaji wa mahitaji ya tiba kupelekwa Gaza. Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli. Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakati asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu. #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
Daktari wa watoto aeleza hospitali pekee ya Nasser imeelemewa na wagonjwa
- - MICE TOURISM CONCEPT ››
- 22 Oct 2024 - The High Court in Eldoret has settled for December 6, 2024 to determine if the former CEO of Christian Health Association of Kenya (CHAK), Francis Simiyu will be granted his request to be awarded Ksh.5.9 billion by the government for wrongful detention…
- 22 Oct 2024 - Belgut Member of Parliament Nelson Koech has defended the speed at which former Deputy President Rigathi Gachagua's impeachment trial at the Senate was undertaken, citing that it shows how effective the government can be.
- 22 Oct 2024 - The senior counsel highlighted two major issues with Kithire Kindiki's appointment.
- 22 Oct 2024 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has dismissed reports he aims at replacing Kithure Kindiki as Interior Cabinet Secretary should the latter assume Deputy President office.
- 22 Oct 2024 - President William Ruto has filed a preliminary objection in a petition against the impeachment of Rigathi Gachagua.
- 22 Oct 2024 - Staff under impeached Deputy President Rigathi Gachagua's office have been denied access into Harambee House, Nairobi days after they were sent on compulsory leave.
- 22 Oct 2024 - SC Muite informed the judges that Gachagua's lawyers are appearing in court 'under protest'.
- 22 Oct 2024 - Kiambu Senator Karungo Thang’wa has termed the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua a flawed process that was politically influenced.
- 22 Oct 2024 - Central to these changes is the switch from TLScontact to VFS Global as the new commercial partner for visa printing.
- 22 Oct 2024 - The Bahamas now the third country to send its officers to the war-torn country after Kenya and Jamaica.