Daraja la sita kwa urefu Afrika lajengwa Tanzania

  • | BBC Swahili
    1,723 views
    Ujenzi wa daraja refu zaidi Afrika mashariki na kati, lililopewa jina la Daraja la mafuli unataraji kukamilika mwezi februari mwaka 2024 hii ikiwa ni mwendelezo wa ukamilshaji wa miradi ya kimkakati nchini Tanzania Daraja hili lenye urefu wa km 3.2 litakuwa kiungo muhimu kwa shughuli za kiuchumi na kijamii kati ya Tanzania na mataifa ya jirani ya Kenya,Uganda na Rwanda lakini pia litapunguza muda wa kuvuka kutoka saa mbili kwa kutumia kivuko hadi dakika mbili kwa kutumia daraja. Hadi kukamilika kwake daraja hili litaigharimu Tanzania shilingi bilioni 700 sawa na dola za kimarekani 300,100,220.00. Eagan Salla na taarifa zaidi #bbcswahili #miundombinu #tanzania