- 11,647 viewsDuration: 3:29Mkurugenzi wa upelezi wa jinai amekana tuhuma za ofisi ya mkurugenzi wa mashtaka ya umma kuwa hajawasilisha faili za mauaji ya kevin shepashina maseli na kujeruhiwa kwa joseph kasio, ambao walipigwa risasi na polisi huko kitengela mwezi uliopita. Kwa mujibu wa dci, faili iliyowasilishwa ilipendekeza kuchukuliwa hatua za kisheria maafisa 5 wa polisi kwa mauaji na jaribio la mauaji. Runinga ya citizen imepata nyaraka zinazowataja maafisa wa polisi wa ngazi ya juu waliohusika pamoja na raia.